Wagalatia 3:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Injili? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Injili? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Injili? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Nataka nijifunze neno moja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa kushika Torati, au kwa kuyaamini yale mliyosikia? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Nataka nijifunze neno moja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mwenyezi Mungu kwa kushika sheria, au kwa kuyaamini yale mliyosikia? Tazama sura |