Wagalatia 3:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Lakini sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: “Mwenye kutimiza yanayotakiwa na sheria ataishi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Lakini sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: “Mwenye kutimiza yanayotakiwa na sheria ataishi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Lakini sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: “Mwenye kutimiza yanayotakiwa na sheria ataishi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Lakini Torati haitegemei imani. Kinyume chake, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Lakini sheria haitegemei imani. Kinyume chake, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.” Tazama sura |