Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 2:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 ambao hata saa moja hatukujitia chini yao, ili kwamba kweli ya Injili ikae pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Injili ubaki nanyi daima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Injili ubaki nanyi daima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Injili ubaki nanyi daima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 hatukukubaliana nao hata dakika moja, ili ukweli wa Injili ubaki nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 hatukukubaliana nao hata dakika moja, ili kwamba ukweli wa Injili ubaki nanyi.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 2:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.


Basi baada ya Paulo na Barnaba kushindana na watu hawa na kuhojiana nao sana, ndugu wakaamuru kwamba Paulo na Barnaba na wengine miongoni mwao wapande kwenda Yerusalemu kwa mitume na wazee ili kuzungumza juu ya suala hilo.


Nashangaa kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia Injili ya namna nyingine.


Lakini, nilipoona ya kuwa njia yao haiendi sawasawa na ile kweli ya Injili, nilimwambia Kefa mbele ya wote, Ikiwa wewe uliye Myahudi wafuata desturi za Mataifa, wala si za Wayahudi, kwa nini unawashurutisha Mataifa kufuata desturi za Wayahudi?


Je! Nimekuwa adui yenu kwa sababu nawaambia yaliyo kweli?


Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, Habari Njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa mhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.


kwa sababu ya tumaini mlilowekewa akiba mbinguni; ambalo habari zake mlizisikia zamani kwa neno la kweli ya Injili;


Kwa sababu hiyo sisi nasi tunamshukuru Mungu bila kukoma, kwa kuwa, mlipopata lile neno la ujumbe wa Mungu mlilolisikia kwetu, mlilipokea si kama neno la wanadamu, bali kama neno la Mungu; na kwa kweli ndivyo lilivyo; litendalo kazi pia ndani yenu ninyi mnaoamini.


Wapenzi, nilipokuwa nikifanya bidii sana kuwaandikia habari ya wokovu ambao ni wetu sisi sote, niliona imenilazimu kuwaandikia, ili niwaonye kwamba mwishindanie imani waliyokabidhiwa watakatifu mara moja tu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo