Wagalatia 2:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Maana mimi kwa njia ya sheria niliifia sheria ili nimwishie Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Maana, kuhusu sheria hiyo, mimi nimekufa; sheria yenyewe iliniua, nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Mimi nimeuawa pamoja na Kristo msalabani, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Maana, kuhusu sheria hiyo, mimi nimekufa; sheria yenyewe iliniua, nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Mimi nimeuawa pamoja na Kristo msalabani, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Maana, kuhusu sheria hiyo, mimi nimekufa; sheria yenyewe iliniua, nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Mimi nimeuawa pamoja na Kristo msalabani, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kwa maana mimi kupitia kwa sheria, nimeifia sheria ili nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kwa maana mimi kwa njia ya sheria, nimeifia sheria ili nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Tazama sura |