Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 1:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Wakamtukuza Mungu kwa ajili yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 1:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!


Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.


Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.


Bali ilibidi kusherehekea na kushangilia kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.


Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.


Hofu ikawashika wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii mkuu ametokea kwetu; na, Mungu amewaangalia watu wake.


Waliposikia maneno haya wakanyamaza, wakamtukuza Mungu, wakisema, Basi, Mungu amewajalia hata mataifa nao toba liletalo uzima.


kwa kuwa mkijaribiwa kwa utumishi huo, wanamtukuza Mungu kwa ajili ya utii wenu katika kuikiri Injili ya Kristo, na kwa ajili ya ukarimu wenu mliowashirikisha wao na watu wote.


yeye atakapokuja ili kutukuzwa katika watakatifu wake, na kustaajabiwa katika wote waliosadiki katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu ulisadikiwa kwenu).


jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu, nanyi ndani yake, kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo