Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 1:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Lakini sikujulikana uso wangu na makanisa ya Yudea yaliyokuwa katika Kristo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makundi ya waumini huko Yudea yaliyo katika Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makundi ya waumini ya huko Uyahudi yaliyo katika Al-Masihi.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 1:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Nisalimieni Apele, mwenye kukubaliwa katika Kristo. Nisalimieni watu wa nyumbani mwa Aristobulo.


Nisalimieni Priska na Akila, watenda kazi pamoja nami katika Kristo Yesu;


Nisalimieni Androniko na Yunia, jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, ambao ni maarufu miongoni mwa mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.


Nisalimieni Urbano, mtenda kazi pamoja nami katika Kristo, na Stakisi, mpenzi wangu.


Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;


Lakini kama Bwana alivyomgawia kila mtu, kama Mungu alivyomwita kila mtu, na aende vivyo hivyo. Ndivyo ninavyoagiza katika makanisa yote.


Paulo na Timotheo, watumwa wa Kristo Yesu, kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu, walioko Filipi, pamoja na maaskofu na mashemasi.


Paulo, Silwano na Timotheo, kwa kanisa la Wathesalonike, lililo katika Mungu Baba, na katika Bwana Yesu Kristo. Neema na iwe kwenu na amani.


Maana ninyi, ndugu, mlikuwa wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyo katika Yudea, katika Kristo Yesu; kwa kuwa mlipata mateso yale yale kwa watu wa taifa lenu wenyewe, waliyoyapata na hao kwa Wayahudi;


Paulo, Silwano na Timotheo, kwa kanisa la Wathesalonike, lililo katika Mungu Baba yetu, na Bwana Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo