Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Kwa maana, ndugu zangu, Injili hiyo niliyowahubiria, nawajulisha ya kuwa siyo ya namna ya kibinadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Injili niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Injili niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Injili niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 1:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu.


Kwa maana mimi nilipokea kwa Bwana niliyowapa nanyi, ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate,


Maana hapo mtu mmoja asemapo, Mimi ni wa Paulo; na mwingine, Mimi ni wa Apolo, je! Ninyi si wanadamu?


Je! Ninanena hayo kwa kibinadamu? Au torati nayo haisemi yayo hayo?


Paulo, mtume, (si mtume wa wanadamu, wala kutumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu),


Nashangaa kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia Injili ya namna nyingine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo