Wagalatia 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Kwa maana, ndugu zangu, Injili hiyo niliyowahubiria, nawajulisha ya kuwa siyo ya namna ya kibinadamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Injili niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Injili niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Injili niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu. Tazama sura |