Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 5:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini yanawahusu nyinyi pia: Kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini yanawahusu nyinyi pia: Kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini yanawahusu nyinyi pia: kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:33
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Bathsheba akainama kifudifudi, akamsujudia mfalme, akasema, Bwana wangu mfalme Daudi na aishi milele.


Basi mbiu ya mfalme atakayoipiga itakapotangazwa katika ufalme wake wote, nao ni mkubwa, wake wote watawaheshimu waume zao, wakubwa kwa wadogo.


Naye mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie.


Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.


Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake;


Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na kanisa.


Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.


Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi, nasi tukawaheshimu; basi si ni afadhali zaidi kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo