Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 5:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?


Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.


Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na kanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo