Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 5:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. (

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?


Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake;


Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake popote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea kanisa.


Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.


Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe.


Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili maombi yenu yasizuiliwe na chochote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo