Waefeso 4:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Wala msimhuzunishe yule Roho Mtakatifu wa Mungu; ambaye kwa yeye mlitiwa mhuri hata siku ya ukombozi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba nyinyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba nyinyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba nyinyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwake mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, ambaye kwake mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi. Tazama sura |