Waefeso 4:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 hadi sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima, kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu, na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Al-Masihi. Tazama sura |