Waebrania 7:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Tena: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Basi kumekuwa na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani. Tazama sura |