Waebrania 7:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Maana, kuna kubatiliwa kwa ile amri iliyotangulia, kwa sababu ya udhaifu wake, na kutokufaa kwake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa Tazama sura |