Waebrania 6:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 bali ikitoa miiba na magugu hukataliwa na kuwa karibu na laana; ambayo mwisho wake ni kuteketezwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Ardhi ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Ardhi ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Ardhi ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Lakini ardhi ikizaa miiba na mibaruti, haina thamani na iko hatarini kulaaniwa. Mwisho wake ni kuchomwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Lakini ardhi ikizaa miiba na mibaruti, haina thamani na iko hatarini ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuchomwa moto. Tazama sura |