Waebrania 3:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Tena ni akina nani aliowaapia ya kwamba hawataingia katika pumziko lake, ila wale walioasi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mungu alipoapa: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko,” alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mungu alipoapa: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko,” alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mungu alipoapa: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko,” alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Ni nani hao ambao Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Ni nani hao ambao Mwenyezi Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii? Tazama sura |