Waebrania 3:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 kama inenwavyo, Leo, kama mkisikia sauti yake, Msifanye mioyo yenu kuwa migumu, Kama wakati wa kuasi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Maandiko yasema hivi: “Kama mkisikia sauti yake leo, msiwe wakaidi kama wakati ule waliponiasi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Maandiko yasema hivi: “Kama mkisikia sauti yake leo, msiwe wakaidi kama wakati ule waliponiasi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Maandiko yasema hivi: “Kama mkisikia sauti yake leo, msiwe wakaidi kama wakati ule waliponiasi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kama ilivyonenwa: “Leo, mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya wakati wa kuasi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kama ilivyonenwa: “Leo, kama mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya wakati wa kuasi.” Tazama sura |