Waebrania 2:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Na tena, Nitakuwa nimemtumaini yeye. Na tena, Tazama, mimi nipo hapa na watoto niliopewa na Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mwenyezi Mungu amenipa.” Tazama sura |