Waebrania 11:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni kusadiki mambo yasiyoonekana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana. Tazama sura |