Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika fikira zao nitaziandika; ndipo anenapo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Mwenyezi Mungu. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Mwenyezi Mungu. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.


Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo