Waebrania 1:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Na kuhusu malaika asema, Awafanya malaika wake kuwa pepo, Na watumishi wake kuwa miali ya moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Lakini kuhusu malaika, alisema: “Amewafanya malaika wake kuwa upepo, na wahudumu wake ndimi za moto.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Lakini kuhusu malaika, alisema: “Amewafanya malaika wake kuwa upepo, na wahudumu wake ndimi za moto.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Lakini kuhusu malaika, alisema: “Amewafanya malaika wake kuwa upepo, na wahudumu wake ndimi za moto.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Anaponena kuhusu malaika, anasema, “Huwafanya malaika wake kuwa pepo, watumishi wake kuwa miali ya moto.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Anenapo kuhusu malaika asema, “Huwafanya malaika wake kuwa pepo, watumishi wake kuwa miali ya moto.” Tazama sura |