Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 9:55 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

55 Basi hapo watu wa Israeli walipoona ya kuwa Abimeleki amekufa, wakaondoka wakaenda kila mtu mahali pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

55 Waisraeli walipoona kwamba Abimeleki amekufa, wakaondoka na kurudi kila mmoja nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

55 Waisraeli walipoona kwamba Abimeleki amekufa, wakaondoka na kurudi kila mmoja nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

55 Waisraeli walipoona kwamba Abimeleki amekufa, wakaondoka na kurudi kila mmoja nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

55 Waisraeli walipoona kuwa Abimeleki amekufa, kila mtu akaenda nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

55 Waisraeli walipoona kuwa Abimeleki amekufa, kila mtu akaenda nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 9:55
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yoabu akapiga tarumbeta, wakarudi watu toka kuwafuatia Israeli; kwani Yoabu akawazuia watu.


Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.


Ndipo akamwita kwa haraka huyo kijana aliyekuwa anamchukulia silaha zake, na kumwambia, Futa upanga wako, uniue, ili watu wasiseme juu yangu, Aliuawa na mwanamke. Basi huyo kijana wake akamchoma upanga, naye akafa.


Kwa hiyo, Mungu akalipiza kisasi juu ya uovu wa Abimeleki aliomtenda baba yake, kwa kuwaua hao nduguze watu sabini;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo