Waamuzi 9:52 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC52 Abimeleki akauendea huo mnara na kupigana nao; naye akaukaribia mlango wa mnara ili auteketeze. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema52 Abimeleki aliufikia mnara na kuushambulia, kisha, aliukaribia mlango wa mnara autie moto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND52 Abimeleki aliufikia mnara na kuushambulia, kisha, aliukaribia mlango wa mnara autie moto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza52 Abimeleki aliufikia mnara na kuushambulia, kisha, aliukaribia mlango wa mnara autie moto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu52 Abimeleki akaja kwenye ule mnara na kuushambulia. Lakini alipokaribia kwenye ingilio la mnara ili kuuchoma kwa moto, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu52 Abimeleki akaja kwenye ule mnara na kuushambulia, lakini alipokaribia kwenye ingilio la mnara ili kuuchoma kwa moto, Tazama sura |