Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 9:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

50 Ndipo Abimeleki alipokwenda Thebesi, akauzingira na kuutwaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Kisha Abimeleki akaenda Thebesi, akauzingira na kuuteka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Kisha Abimeleki akaenda Thebesi, akauzingira na kuuteka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Kisha Abimeleki akaenda Thebesi, akauzingira na kuuteka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Baadaye Abimeleki akaenda Thebesi na kuuzingira kwa jeshi na kuuteka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Baadaye Abimeleki akaenda Thebesi na kuuzingira kwa jeshi na kuuteka.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 9:50
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani aliyempiga Ahimeleki, mwana wa Yeru-beshethi? Je! Si mwanamke aliyemtupia jiwe la kusagia la juu kutoka ukutani? Hata akafa huko Thebesi? Kwa nini mliukaribia ukuta namna ile? Ndipo utakaposema, Mtumishi wako Uria, Mhiti, amekufa naye.


Omri akapanda kutoka Gibethoni, na Israeli wote pamoja naye, wakauhusuru Tirza.


Basi watu hao wote wakakata kila mtu tawi lake, wakamfuata Abimeleki, wakayaweka hayo matawi pale ngomeni, na kuiteketeza moto hiyo ngome juu yao; ndipo watu wote wa huo mnara wa Shekemu wakafa, watu wapatao elfu moja, wanaume kwa wanawake.


Lakini ndani ya huo mji palikuwa na mnara wenye nguvu, na watu wote wanaume na wanawake wakakimbilia huko, na watu wote wa mji, nao wakajifungia ndani, wakapanda paa la mnara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo