Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 9:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

41 Abimeleki akakaa Aruma; naye Zebuli akawatoa Gaali na ndugu zake, wasikae katika Shekemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Abimeleki akakaa Aruma na Zebuli akamfukuza Gaali na ndugu zake kutoka mji wa Shekemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Abimeleki akakaa Aruma na Zebuli akamfukuza Gaali na ndugu zake kutoka mji wa Shekemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Abimeleki akakaa Aruma na Zebuli akamfukuza Gaali na ndugu zake kutoka mji wa Shekemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Abimeleki akaishi Aruma, naye Zebuli akawafukuza Gaali na ndugu zake watoke Shekemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Abimeleki akakaa Aruma, naye Zebuli akawafukuza Gaali na ndugu zake watoke Shekemu.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 9:41
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Gaali mwana wa Ebedi akasema, Abimeleki ni nani, na sisi wa Shekemu ni nani, hata tukamtumikie yeye? Je, huyu mwana wa Yerubaali na Zebuli afisa wake hawakuwatumikia watu wa Hamori babaye Shekemu? Basi, kwa nini tumutumikie?


Basi hapo Zebuli, aliyekuwa mkuu wa mji, alipoyasikia hayo maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, hasira zake zikamwaka.


Lakini Abimeleki akamkimbiza, naye akakimbia mbele yake, wengi walijeruhiwa na kuanguka hadi kufikia maingilio ya lango la mji.


Ikawa siku ya pili yake, watu wakatoka waende mashambani; naye Abimeleki alipoambiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo