Waamuzi 9:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Basi hapo Zebuli, aliyekuwa mkuu wa mji, alipoyasikia hayo maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, hasira zake zikamwaka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Zebuluni, mtawala wa mji, aliposikia maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, alikasirika sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Zebuluni, mtawala wa mji, aliposikia maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, alikasirika sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Zebuluni, mtawala wa mji, aliposikia maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, alikasirika sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Zebuli aliyekuwa mtawala wa mji aliposikia aliyosema Gaali mwana wa Ebedi, akakasirika sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Zebuli aliyekuwa mtawala wa mji aliposikia aliyosema Gaali mwana wa Ebedi, akakasirika sana. Tazama sura |