Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 9:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Basi hapo Zebuli, aliyekuwa mkuu wa mji, alipoyasikia hayo maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, hasira zake zikamwaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Zebuluni, mtawala wa mji, aliposikia maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, alikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Zebuluni, mtawala wa mji, aliposikia maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, alikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Zebuluni, mtawala wa mji, aliposikia maneno ya Gaali mwana wa Ebedi, alikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Zebuli aliyekuwa mtawala wa mji aliposikia aliyosema Gaali mwana wa Ebedi, akakasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Zebuli aliyekuwa mtawala wa mji aliposikia aliyosema Gaali mwana wa Ebedi, akakasirika sana.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 9:30
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Gaali, mwana wa Ebedi, akaenda pamoja na nduguze, wakavuka na kufika Shekemu; na watu wa Shekemu wakawa na imani naye.


Laiti watu hawa wangekuwa chini ya mkono wangu! Hapo basi mimi ningemuondoa huyo Abimeleki. Kisha akamwambia Abimeleki, Haya, ongeza jeshi lako, utokeze.


Naye akatuma wajumbe waende kwa Abimeleki kwa siri, akasema, Tazama, Gaali, mwana wa Ebedi, na ndugu zake wamekuja Shekemu; na wanaufitinisha mji huu kinyume chako.


Abimeleki akakaa Aruma; naye Zebuli akawatoa Gaali na ndugu zake, wasikae katika Shekemu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo