Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 9:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Kisha Yothamu akaenda zake na kukimbia, akaenda Beeri, na kukaa kuko, kwa kumwogopa Abimeleki nduguye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kisha Yothamu akatoroka, akakimbilia Beeri, akakaa huko, kwa maana alimwogopa Abimeleki ndugu yake. Akakaa huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kisha Yothamu akatoroka, akakimbilia Beeri, akakaa huko, kwa maana alimwogopa Abimeleki ndugu yake. Akakaa huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kisha Yothamu akatoroka, akakimbilia Beeri, akakaa huko, kwa maana alimwogopa Abimeleki ndugu yake. Akakaa huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Ndipo Yothamu akakimbia, akatoroka akaenda Beeri, akaishi huko, kwa sababu alimwogopa ndugu yake Abimeleki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Ndipo Yothamu akakimbia, akatoroka akaenda Beeri, akaishi huko, kwa sababu alimwogopa ndugu yake Abimeleki.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 9:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akapita kati ya kabila zote za Israeli mpaka Abeli, na kwa Bethmaaka na Wabikri wote; nao wakakusanyika, wakaenda pia kumwandama.


Kutoka huko wakasafiri kwenda Beeri; ni kisima ambacho BWANA alimwambia Musa, Uwakutanishe watu, nami nitawapa maji.


tena vijiji vyote vilivyozunguka miji hiyo kotekote mpaka Baalath-beeri, Rama wa Kusini. Huo ndio urithi wa kabila la wana wa Simeoni kwa kuandama jamaa zao.


lakini ikiwa basi moto na utoke katika Abimeleki na kuwateketeza watu wa Shekemu, na jamaa ya Milo; kisha moto na utoke katika hao watu wa Shekemu, na katika jamaa ya Milo, na kumteketeza Abimeleki.


Basi Abimeleki alitawala juu ya Israeli kwa muda wa miaka mitatu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo