Waamuzi 9:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 (kwa maana baba yangu aliwatetea ninyi, na kuhatarisha uhai wake, na kuwaokoa na mikono ya Midiani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Aghalabu baba yangu alihatarisha maisha yake kwa kuwapigania na kuwakomboa kutoka kwa Wamidiani! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Aghalabu baba yangu alihatarisha maisha yake kwa kuwapigania na kuwakomboa kutoka kwa Wamidiani! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Aghalabu baba yangu alihatarisha maisha yake kwa kuwapigania na kuwakomboa kutoka kwa Wamidiani! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Baba yangu aliwapigania na kuhatarisha nafsi yake ili kuwaokoa kutoka mikononi mwa Wamidiani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 kwa kuwa baba yangu aliwapigania ninyi na kuhatarisha nafsi yake na kuwaokoa ninyi kutoka mikononi mwa Wamidiani Tazama sura |