Waamuzi 8:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Na suria yake aliyekuwako Shekemu, yeye naye akamzalia mwana, naye akamwita jina lake Abimeleki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Alikuwa na suria huko Shekemu ambaye alimzalia mtoto wa kiume, jina lake Abimeleki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Alikuwa na suria huko Shekemu ambaye alimzalia mtoto wa kiume, jina lake Abimeleki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Alikuwa na suria huko Shekemu ambaye alimzalia mtoto wa kiume, jina lake Abimeleki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Suria wake, aliyekuwa anaishi huko Shekemu, pia alimzalia mwana, akamwita jina Abimeleki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Suria wake, aliyekuwa anaishi huko Shekemu, pia alimzalia mwana, ambaye alimwita Abimeleki. Tazama sura |