Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 8:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Kisha huyo Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda kukaa katika nyumba yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Gideoni, yaani Yerubaali, mwana wa Yoashi akarudi nyumbani kwake na kukaa huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Gideoni, yaani Yerubaali, mwana wa Yoashi akarudi nyumbani kwake na kukaa huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Gideoni, yaani Yerubaali, mwana wa Yoashi akarudi nyumbani kwake na kukaa huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 8:29
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yoashi akamwita Gideoni, Yerubaali siku hiyo, akisema, Baali na atete naye kwa ajili ya nafsi yake, kwa sababu ameibomoa madhabahu yake.


Kisha Yerubaali, yaani Gideoni, na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka asubuhi na mapema, wakapiga kambi yao karibu na kijito cha Harodi; na kambi ya Midiani ilikuwa upande wao wa kaskazini, karibu na mlima wa More, bondeni.


Ndipo Midiani walishindwa mbele ya wana wa Israeli, wala hawakuinua vichwa vyao tena. Nayo nchi ilipata kuwa na amani muda wa miaka arubaini katika siku za Gideoni.


BWANA akawatuma Yerubaali, na Baraka, na Yeftha, na Samweli, akawaokoa ninyi kutoka kwa mikono ya adui zenu pande zote, nanyi mkakaa salama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo