Waamuzi 8:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Kisha huyo Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda kukaa katika nyumba yake mwenyewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Gideoni, yaani Yerubaali, mwana wa Yoashi akarudi nyumbani kwake na kukaa huko. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Gideoni, yaani Yerubaali, mwana wa Yoashi akarudi nyumbani kwake na kukaa huko. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Gideoni, yaani Yerubaali, mwana wa Yoashi akarudi nyumbani kwake na kukaa huko. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake. Tazama sura |