Waamuzi 8:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Basi akawatwaa hao wazee wa mji, na miiba ya nyikani na michongoma, akawafunza hao watu wa Sukothi kwayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Basi, akawachukua wazee wa Sukothi na kuwapa funzo wanaume wote kwa kuichana miili yao kwa miiba na mbigili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Basi, akawachukua wazee wa Sukothi na kuwapa funzo wanaume wote kwa kuichana miili yao kwa miiba na mbigili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Basi, akawachukua wazee wa Sukothi na kuwapa funzo wanaume wote kwa kuichana miili yao kwa miiba na mbigili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Akawachukua hao wazee wa mji, na kuwaadhibu wanaume wa Sukothi kwa kuwachapa kwa miiba na michongoma ya nyikani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Akawachukua hao viongozi wa mji na kuwafundisha watu wa Sukothi somo kwa kuwaadhibu kwa miiba na michongoma ya nyikani. Tazama sura |