Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 7:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Wanaume wa Israeli walikuwa wamekusanyika kutoka Naftali, na kutoka Asheri, na kutoka Manase yote, wakawafuata Midiani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Waisraeli wa kabila la Naftali, Asheri, na Manase, wote waliitwa, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Waisraeli wa kabila la Naftali, Asheri, na Manase, wote waliitwa, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Waisraeli wa kabila la Naftali, Asheri, na Manase, wote waliitwa, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Wanaume Waisraeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase yote, nao wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia Wamidiani.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 7:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.


Wakapiga kila mmoja mtu wake; Washami wakakimbia, na Israeli wakawafuatia; Ben-hadadi mfalme wa Shamu akaokoka amepanda farasi, pamoja na wapandao farasi.


Mfalme wa Israeli akatoka, akawapiga farasi na magari, akawapiga Washami pigo kubwa.


Nanyi mtawafukuza adui zenu, nao wataanguka mbele zenu kwa upanga.


Kisha akatuma wajumbe waende kati ya Manase yote; wao nao walikutana pamoja ili kumfuata; kisha akatuma wajumbe waende kwa Asheri, na kwa Zabuloni, na kwa Naftali; nao wakakwea ili kumlaki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo