Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Kisha ikawa, hapo wana wa Israeli walipomlilia BWANA kwa sababu ya Midiani,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Waisraeli walipomlilia Mwenyezi-Mungu awaondolee taabu walizopata kwa Wamidiani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Waisraeli walipomlilia Mwenyezi-Mungu awaondolee taabu walizopata kwa Wamidiani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Waisraeli walipomlilia Mwenyezi-Mungu awaondolee taabu walizopata kwa Wamidiani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Waisraeli walipomlilia Mwenyezi Mungu kwa sababu ya Wamidiani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Waisraeli walipomlilia bwana kwa sababu ya Wamidiani,

Tazama sura Nakili




Waamuzi 6:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.


Kisha wana wa Israeli walipomlilia BWANA, BWANA akawainulia wana wa Israeli mwokozi, aliyewaokoa, yaani, Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa Kalebu.


Israeli walitwezwa sana kwa sababu ya Wamidiani; nao wana wa Israeli wakamlilia BWANA.


BWANA akamtuma nabii aende kwa hao wana wa Israeli; naye akawaambia, BWANA, yeye Mungu wa Israeli, asema hivi, Mimi niliwaleta ninyi mkwee kutoka Misri, nikawatoa katika nyumba ya utumwa;


Nao wakamlilia BWANA, wakasema, Tumefanya dhambi, kwa kuwa tumemwacha BWANA, na kuwatumikia Mabaali na Maashtorethi; lakini sasa tuokoe kutoka kwa mikono ya adui zetu, nasi tutakutumikia wewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo