Waamuzi 6:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC40 Mungu akafanya hivyo usiku ule; maana ile ngozi tu ilikuwa kavu, napo palikuwa na umande juu ya nchi yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema40 Mungu akafanya hivyo usiku huo, maana, juu ya ngozi kulikuwa kukavu na kwenye sakafu kulikuwa na umande. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND40 Mungu akafanya hivyo usiku huo, maana, juu ya ngozi kulikuwa kukavu na kwenye sakafu kulikuwa na umande. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza40 Mungu akafanya hivyo usiku huo, maana, juu ya ngozi kulikuwa kukavu na kwenye sakafu kulikuwa na umande. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu40 Usiku ule Mungu akafanya hivyo. Manyoya yakawa kavu, na ardhi yote ikafunikwa na umande. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu40 Usiku ule Mungu akafanya hivyo. Ngozi ile ilikuwa kavu, nayo ardhi yote ikafunikwa na umande. Tazama sura |