Waamuzi 6:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Gideoni akaona ya kuwa ni malaika wa BWANA; Gideoni akasema, Ole wangu, Ee Bwana MUNGU! Kwa kuwa nimemwona BWANA uso kwa uso. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Ndipo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi-Mungu; akasema, “Ole wangu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu, maana nimemwona malaika wako uso kwa uso.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Ndipo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi-Mungu; akasema, “Ole wangu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu, maana nimemwona malaika wako uso kwa uso.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Ndipo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi-Mungu; akasema, “Ole wangu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu, maana nimemwona malaika wako uso kwa uso.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Gideoni alipotambua kuwa ni malaika wa Mwenyezi Mungu, akapaza sauti, akasema, “Ole wangu, Bwana Mungu Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa Mwenyezi Mungu uso kwa uso!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Gideoni alipotambua kuwa ni malaika wa bwana, akapiga kelele kwa mshangao, akasema, “Ole wangu, bwana Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa bwana uso kwa uso!” Tazama sura |