Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 5:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Akanyosha mkono wake akashika kigingi, Nao mkono wake wa kulia ukashika nyundo ya fundi; Akampiga Sisera kwa hiyo nyundo, akamtoboa kichwa chake. Naam, alimpiga akamtoboa kipaji chake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Kwa mkono mmoja alishika kigingi cha hema, na kwa mkono wake wa kulia nyundo ya fundi; alimponda Sisera kichwa, alivunja na kupasuapasua paji lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Kwa mkono mmoja alishika kigingi cha hema, na kwa mkono wake wa kulia nyundo ya fundi; alimponda Sisera kichwa, alivunja na kupasuapasua paji lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Kwa mkono mmoja alishika kigingi cha hema, na kwa mkono wake wa kulia nyundo ya fundi; alimponda Sisera kichwa, alivunja na kupasuapasua paji lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Akanyoosha mkono wake akashika kigingi cha hema, mkono wake wa kuume ukashika nyundo ya fundi. Akampiga Sisera kwa nyundo, akamponda kichwa chake, akamvunjavunja na kumtoboa paji lake la uso.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Akanyoosha mkono wake akashika kigingi cha hema, mkono wake wa kuume ukashika nyundo ya fundi. Akampiga Sisera kwa nyundo, akamponda kichwa chake, akamvunjavunja na kumtoboa paji lake la uso.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 5:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo yule mwanamke akawaendea watu wote katika hekima yake. Nao wakamkata kichwa Sheba, mwana wa Bikri, wakamtupia Yoabu huko nje. Ndipo akapiga tarumbeta, nao wakatawanyika kutoka mjini kila mtu hemani kwake. Naye Yoabu akarudi mpaka Yerusalemu kwa mfalme.


Ndipo Yaeli, mkewe Heberi, akatwaa kigingi cha hema, akashika nyundo mkononi mwake, akamwendea polepole, akamtia kile kigingi katika kipaji chake, nacho kikapenya, hata kuingia mchangani; kwa maana usingizi mzito ulikuwa umemshika; basi akazimia, akafa.


Aliomba maji, naye akampa maziwa. Akamletea siagi katika sahani ya heshima.


Miguuni pake aliinama, akaanguka, akalala. Miguuni pake aliinama, akaanguka. Hapo alipoinama, ndipo alipoanguka amekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo