Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 5:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Mbona ulikaa katika mazizi ya kondoo, Kusikiliza filimbi zipigwazo ili kuita makundi? Kwenye vijito vya Reubeni Palikuwa na makusudi makuu mioyoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kwa nini walibaki mazizini? Ili kusikiliza milio ya kondoo? Miongoni mwa koo za Reubeni kulikuwamo kusitasita kwingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kwa nini walibaki mazizini? Ili kusikiliza milio ya kondoo? Miongoni mwa koo za Reubeni kulikuwamo kusitasita kwingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kwa nini walibaki mazizini? Ili kusikiliza milio ya kondoo? Miongoni mwa koo za Reubeni kulikuwamo kusitasita kwingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo kusikiliza sauti ya filimbi zinazoita makundi? Kwa jamaa za Reubeni, palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo kusikiliza sauti ya filimbi zinazoita makundi? Kwa jamaa za Reubeni, palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 5:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Isakari ni punda hodari, Ajilazaye kati ya mazizi ya kondoo;


Muwe na hofu wala msitende dhambi, Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.


Kwa nini kulala mazizini arukapo hua, Mbawa zake ziking'aa kama fedha Na manyoya yake kama dhahabu?


Nanena na moyo wangu usiku, Nawaza moyoni mwangu, Roho yangu naipeleleza.


Basi, jengeni miji kwa ajili ya watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; mkayafanye hayo mliotamka kwa vinywa vyenu.


Musa akawaambia wana wa Gadi na wana wa Reubeni, Je! Ndugu zenu waende vitani nanyi mtaketi hapa?


Maana wote wanatafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu.


mwisho wao ni uharibifu, mungu wao ni tumbo, utukufu wao uko katika fedheha yao, waniao mambo ya duniani.


Na wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora. Kama alivyokuwa Isakari, ndivyo alivyokuwa Baraka. Waliingia bondeni kwa kasi miguuni pake. Kwenye vijito vya Reubeni Palikuwa na makusudi makuu mioyoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo