Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 5:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Ndipo Debora, na Baraka mwana wa Abinoamu, wakaimba siku ile, wakisema;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Siku hiyo, Debora na Baraki, mwana wa Abinoamu, wakaimba wimbo huu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Siku hiyo, Debora na Baraki, mwana wa Abinoamu, wakaimba wimbo huu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Siku hiyo, Debora na Baraki, mwana wa Abinoamu, wakaimba wimbo huu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Siku hiyo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:

Tazama sura Nakili




Waamuzi 5:1
20 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akamwambia BWANA maneno ya wimbo huu, siku ile BWANA alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na mkononi mwa Sauli;


Naye alipokwisha kufanya shauri na watu, akawaweka wale watakaomwimbia BWANA, na kumsifu katika uzuri wa utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana fadhili zake ni za milele.


Kisha wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati mbele yao, ili kuurudia Yerusalemu kwa furaha; kwa kuwa BWANA amewafurahisha juu ya adui zao.


Kumbuka kuitukuza kazi yake, Watu waliyoiimbia.


Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, Na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?


Wewe, BWANA, nguvu yangu, nakupenda sana;


Kimbilio langu utanilinda nisipate mateso, Utanizungusha nyimbo za kufurahia wokovu wangu.


Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia BWANA wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia BWANA, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.


Miriamu akawaitikia, Mwimbieni BWANA kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.


Ee BWANA, wewe u Mungu wangu; Nitakutukuza na kulihimidi jina lako; Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu, Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.


Siku ile wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda; Sisi tunao mji ulio na nguvu; Ataamuru wokovu kuwa kuta na maboma.


Ndipo Israeli wakaimba wimbo huu; Bubujika Ee kisima; kiimbieni;


Mariamu akasema, Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,


Mkono wa wana wa Israeli ukazidi kupata nguvu juu ya Yabini, mfalme wa Kanaani, hata walipokuwa wamemwangamiza Yabini, mfalme wa Kanaani.


Basi Debora, nabii mwanamke, mkewe Lapidothi, ndiye aliyekuwa mwamuzi wa Israeli wakati ule.


Naye Hana akaomba, akasema, Moyo wangu wamshangilia BWANA, Pembe yangu imetukuka katika BWANA, Kinywa changu kimepanuka juu ya adui zangu; Kwa kuwa naufurahia wokovu wako;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo