Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 4:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Basi hivyo Mungu akamshinda Yabini, mfalme wa Kanaani mbele ya wana wa Israeli siku hiyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hivyo, siku hiyo Mungu akawapa Waisraeli ushindi juu ya mfalme Yabini wa Kanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hivyo, siku hiyo Mungu akawapa Waisraeli ushindi juu ya mfalme Yabini wa Kanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hivyo, siku hiyo Mungu akawapa Waisraeli ushindi juu ya mfalme Yabini wa Kanaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Basi siku ile Mungu akamshinda Yabini, mfalme wa Kanaani, mbele ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Basi siku ile Mungu akamshinda Yabini, mfalme wa Kanaani, mbele ya Israeli.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 4:23
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Si BWANA, Mungu wenu, aliye pamoja nanyi? Na kuwapa amani pande zote? Kwa kuwa wenyeji wa nchi amewatia mkononi mwangu; nayo nchi imetiishwa mbele za BWANA, na mbele ya watu wake.


Basi wale watoto wakaingia wakaimiliki nchi, nawe ukawatiisha wenyeji wa nchi mbele yao, ndio Wakanaani, ukawatia mikononi mwao, pamoja na wafalme wao, na watu wa nchi, wawatende kama wapendavyo.


Nawe umenipa nguvu za vita, Hunitiishia chini yangu walionishambulia.


Ndiye Mungu anilipizaye kisasi; Na kuwatiisha watu chini yangu.


Amewatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.


Ningewadhili adui zao kwa upesi, Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu;


Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.


ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitenda haki, walipata ahadi, walifunga vinywa vya simba,


Na tazama, Baraka alipokuwa akimfuatia Sisera; Yaeli akatoka ili kumlaki, akamwambia, Njoo, nami nitakuonesha yule mtu unayemtafuta. Basi akamwendea, na tazama, Sisera amelala humo, amekufa, na hicho kigingi kilikuwa kipajini mwake.


Mkono wa wana wa Israeli ukazidi kupata nguvu juu ya Yabini, mfalme wa Kanaani, hata walipokuwa wamemwangamiza Yabini, mfalme wa Kanaani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo