Waamuzi 4:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Hata alipokufa Ehudi, wana wa Israeli wakafanya yaliyo maovu tena mbele za macho ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Baada ya kifo cha Ehudi, Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Baada ya kifo cha Ehudi, Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Baada ya kifo cha Ehudi, Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakafanya tena maovu machoni pa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakafanya tena maovu machoni pa bwana. Tazama sura |