Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 3:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Naye hapo alipomaliza kuitoa hiyo tunu, akawapa ruhusa watu hao walioichukua tunu, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ehudi alipomaliza kutoa zawadi, akawaambia watu waliobeba zawadi, waondoke.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ehudi alipomaliza kutoa zawadi, akawaambia watu waliobeba zawadi, waondoke.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ehudi alipomaliza kutoa zawadi, akawaambia watu waliobeba zawadi, waondoke.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Baada ya Ehudi kumkabidhi ule ushuru, akawatuma wale watu waliokuwa wameubeba huo ushuru waende zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Baada ya Ehudi kumkabidhi ule ushuru, wale watu waliokuwa wameubeba huo ushuru aliwaruhusu waende zao.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 3:18
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akamsogezea Egloni, mfalme wa Moabu, hiyo tunu; basi Egloni alikuwa ni mtu aliyenenepa sana.


Lakini yeye mwenyewe akageuka kutoka huko kwenye sanamu zilizokuwa karibu na Gilgali, akasema, Mimi nina ujumbe wa siri kwako wewe, Ee mfalme. Naye akasema, Nyamazeni kimya. Watu wote waliokuwa wanasimama karibu naye wakatoka na kumwacha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo