Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 21:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Kwa maana hapo watu walipohesabiwa, hakuwapo hata mtu mmoja katika wenyeji wa Yabesh-gileadi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Waisraeli walipohesabiwa huko Mizpa hakuna mkazi yeyote wa Yabesh-gileadi aliyehudhuria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Waisraeli walipohesabiwa huko Mizpa hakuna mkazi yeyote wa Yabesh-gileadi aliyehudhuria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Waisraeli walipohesabiwa huko Mizpa hakuna mkazi yeyote wa Yabesh-gileadi aliyehudhuria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kwa kuwa walipohesabu waliona hapakuwa mtu yeyote wa Yabesh-Gileadi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Walipohesabu waliona hakuna mtu yeyote wa Yabeshi-Gileadi aliyekuwepo.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 21:9
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mkutano walipeleka huko watu elfu kumi na mbili wa hao waliokuwa mashujaa sana, kisha wakawaamuru, wakisema, Endeni mkawapige wenyeji wa Yabesh-gileadi kwa makali ya upanga, na hata wanawake na watoto wadogo.


Basi wakasema, Ni ipi katika makabila ya Israeli ambayo haikufika mbele ya Bwana huko Mispa.


Ulaanini Merozi, alisema malaika wa BWANA, Walaanini kwa uchungu wenyeji wake; Kwa maana hawakuja kumsaidia BWANA, Kumsaidia BWANA juu ya hao wenye nguvu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo