Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 21:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Basi wakawaagiza hao wana wa Benyamini wakisema, Haya, endeni, mkaotee katika mashamba ya mizabibu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kwa hiyo wakawaamuru wale wanaume wa kabila la Benyamini, “Nendeni mkavizie na kuotea katika mashamba ya mizabibu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kwa hiyo wakawaamuru wale wanaume wa kabila la Benyamini, “Nendeni mkavizie na kuotea katika mashamba ya mizabibu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kwa hiyo wakawaamuru wale wanaume wa kabila la Benyamini, “Nendeni mkavizie na kuotea katika mashamba ya mizabibu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hivyo wakawaelekeza Wabenyamini, wakisema, “Nendeni mkajifiche kwenye mashamba ya mizabibu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hivyo wakawaelekeza Wabenyamini wakisema, “Nendeni mkajifiche kwenye mashamba ya mizabibu,

Tazama sura Nakili




Waamuzi 21:20
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha wakasema, Angalieni, iko sikukuu ya BWANA mwaka baada ya mwaka katika Shilo, mji ulio upande wa kaskazini mwa Betheli, upande wa mashariki mwa hiyo njia kuu iendeayo kutoka Betheli kwenda Shekemu, nao ni upande wa kusini mwa Lebona.


kaeni macho; kisha tazameni, kisha hao binti za Shilo watakapotoka ili wacheze katika hiyo michezo, basi tokeni mizabibuni, na kila mtu na ajishikie mke katika hao binti za Shilo, kisha mrudi katika nchi ya Benyamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo