Waamuzi 21:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Wakasema, Lazima uwepo urithi kwa hao wa Benyamini waliopona, lisije likafutika kabila Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Lazima wanaume waliosalia wa kabila la Benyamini wapewe wanawake ili waendeleze kabila, na hivyo kusipotee kabila lolote katika Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Lazima wanaume waliosalia wa kabila la Benyamini wapewe wanawake ili waendeleze kabila, na hivyo kusipotee kabila lolote katika Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Lazima wanaume waliosalia wa kabila la Benyamini wapewe wanawake ili waendeleze kabila, na hivyo kusipotee kabila lolote katika Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wakaendelea kusema, “Lazima tuwape Wabenyamini waliopona wake ili wawe na warithi, nalo kabila lolote katika Israeli lisifutike. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wale waliopona wa Wabenyamini ni lazima tuwape wake, ili wawe na warithi, ili kabila lolote katika Israeli lisifutike. Tazama sura |