Waamuzi 21:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Nao watu wakawahurumia Wabenyamini, kwa sababu BWANA alikuwa amefanya pengo katika hayo makabila ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Waisraeli wakawaonea huruma watu wa kabila la Benyamini, maana Mwenyezi-Mungu alisababisha kuweko na mwanya katika Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Waisraeli wakawaonea huruma watu wa kabila la Benyamini, maana Mwenyezi-Mungu alisababisha kuweko na mwanya katika Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Waisraeli wakawaonea huruma watu wa kabila la Benyamini, maana Mwenyezi-Mungu alisababisha kuweko na mwanya katika Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Waisraeli wakahuzunika kwa ajili ya Wabenyamini, kwa kuwa Mwenyezi Mungu alikuwa ameweka ufa katika makabila ya Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Waisraeli wakasikitika kwa ajili ya Wabenyamini, kwa kuwa bwana ameweka ufa katika makabila ya Israeli. Tazama sura |