Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 21:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Na jambo mtakalotenda ni hili; mtamwangamiza kila mwanamume kabisa, na kila mwanamke ambaye amelala na mwanamume.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mtawaua wanaume wote na wanawake wote wasio mabikira.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mtawaua wanaume wote na wanawake wote wasio mabikira.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mtawaua wanaume wote na wanawake wote wasio mabikira.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wakasema, “Hili ndilo mtakalofanya: Ueni kila mwanaume na kila mwanamke ambaye si bikira.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wakasema, “Hilo ndilo mtakalofanya. Ueni kila mtu mume na mke ambaye si bikira.”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 21:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakapigana na Midiani kama BWANA alivyomwagiza Musa; nao wakawaua kila mwanamume.


Tukatwaa miji yake yote wakati huo, tukaharibu kabisa kila mji uliokuwa na wanaume, wanawake na watoto; tusimbakize hata mmoja;


Nao wakapata katika wenyeji wa Yabesh-gileadi wanawali mia nne, ambao hawajamjua mwanamume kwa kulala naye; basi wakawaleta kambini huko Shilo, ulioko katika nchi ya Kanaani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo