Waamuzi 20:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Lakini jambo tutakalowatenda watu wa Gibea ni hili; tutakwea kuushambulia kwa kupiga kura; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Hivi ndivyo tutakavyofanya kuhusu Gibea: Tutapiga kura namna ya kuwashambulia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Hivi ndivyo tutakavyofanya kuhusu Gibea: Tutapiga kura namna ya kuwashambulia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Hivi ndivyo tutakavyofanya kuhusu Gibea: Tutapiga kura namna ya kuwashambulia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Sasa hili ndilo tutakaloitendea Gibea: Tutaikabili jinsi kura itakavyotuongoza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Sasa hili ndilo tutakaloitendea Gibea: Tutaikabili jinsi kura itakavyotuongoza. Tazama sura |