Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 20:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Angalieni, ninyi wana wa Israeli nyote, sasa toeni maneno na mashauri yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Sasa enyi Waisraeli, shaurianeni na toeni uamuzi wenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Sasa enyi Waisraeli, shaurianeni na toeni uamuzi wenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Sasa enyi Waisraeli, shaurianeni na toeni uamuzi wenu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Sasa, ninyi Waisraeli wote, semeni na mtoe uamuzi wenu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Sasa, ninyi Waisraeli wote, semeni na mtoe uamuzi wenu.”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 20:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.


Maana kwa mashauri ya akili utafanya vita; Na kwa wingi wa washauri huja wokovu.


Hakika habari imeenea ya kuwa kwenu kuna zinaa, na zinaa ya namna isiyokuwako hata katika Mataifa, kwamba mtu awe na mke wa babaye.


Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?


Zishikeni basi, mkazitende, maana hii ndiyo hekima yenu na akili zenu, machoni pa mataifa watakaozisikia amri hizi zote, nao watasema, Hakika taifa hili kubwa ni watu wenye hekima na akili.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.


Basi wakuu hao wakatwaa katika vyakula vyao, wala wasitake shauri kinywani mwa BWANA.


Basi ikawa, wote waliolishuhudia jambo hilo wakasema, Jambo kama hili halijatendeka wala kuonekana tangu siku hiyo wana wa Israeli walipokwea kutoka katika nchi ya Misri hadi leo; haya, lifikirini, fanyeni shauri, na mliseme.


Basi watu hao wote waliinuka sawia, wakisema, Hatutakwenda, hata mmoja, hemani kwake, wala hatutaondoka, hata mmoja, kwenda nyumbani kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo