Waamuzi 20:48 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC48 Kisha watu wa Israeli wakageuka tena kuwaendea wana wa Benyamini, wakawapiga kwa makali ya upanga, huo mji mzima, na hao wanyama wa mji, na kila kitu walichokiona; tena miji yote waliyoiona wakaiteketeza kwa moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema48 Waisraeli wakawageukia watu wengine wa kabila la Benyamini, wakawaua wote: Wanaume, wanawake, watoto na wanyama. Na miji yote waliyoikuta huko wakaiteketeza moto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND48 Waisraeli wakawageukia watu wengine wa kabila la Benyamini, wakawaua wote: Wanaume, wanawake, watoto na wanyama. Na miji yote waliyoikuta huko wakaiteketeza moto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza48 Waisraeli wakawageukia watu wengine wa kabila la Benyamini, wakawaua wote: wanaume, wanawake, watoto na wanyama. Na miji yote waliyoikuta huko wakaiteketeza moto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu48 Waisraeli wakarudi na kuwaua kwa upanga Wabenyamini wote, pamoja na wanyama na kila walichokipata. Pia kila mji waliouona wakauchoma kwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu48 Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto. Tazama sura |