Waamuzi 20:46 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC46 Basi jumla ya watu wa Benyamini waliouawa siku ile walikuwa ni watu elfu ishirini na tano waliokuwa wapiganaji vita; wote hao walikuwa ni mashujaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Jumla ya watu wote wa kabila la Benyamini waliouawa siku hiyo ilikuwa 25,000, askari hodari wa kutumia silaha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Jumla ya watu wote wa kabila la Benyamini waliouawa siku hiyo ilikuwa 25,000, askari hodari wa kutumia silaha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Jumla ya watu wote wa kabila la Benyamini waliouawa siku hiyo ilikuwa 25,000, askari hodari wa kutumia silaha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 Siku hiyo wakawaua Wabenyamini elfu ishirini na tano wenye panga, wapiganaji hodari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 Siku ile wakawaua Wabenyamini 25,000 waliokuwa mashujaa wa vita. Tazama sura |